18/08/2026
Katika Nkwabi Integrated Farms tumepanda kiasi kidogo cha Malisho aina ya Elephant glass na Chloris Gayana..Katika ufugaji tofauti na uwepo wa maji safi na salama na ya uhakika; Chakula ni Jambo lingine muhimu.
Kwa Bahati nzuri tumepata maji ya shamba Safi kabisa Kwaajili ya wanyama wetu wajao!!. Bado maandalizi yanaendelea.
Dr. Kessy, J.A Wasafi FM Hussein Mohammed Bashe Baba Levo Simba Sports Club Young Africans Sports Club Bingwa Wa Magari Company Limited JOACK Mifugo Tz wizarayamifugonauvuvi Wizara ya Kilimo nzegafarm